About Swahiba Kuhusu Swahiba

SWAHIBA MJENZI

The best grassroot football tournaments designer & organizer

Wabunifu na waratibu bora wa mashindano ya soka ya ngazi ya chini/mtaani

Overview Muhtasari

We design and present the most prestigious football tournaments in Dodoma and Central Zone. Our main objective being contribution toward grassroots football development.

Our Strategy

Our Strategy sets out the vision and objectives; Bridging the value, by ensuring that grassroot gets its deserving attention and visibility by forging high quality competition equaling high level for the very best of players, clubs and footballs associations.

Stakeholders

  • Partners/Sponsors: Working with partners to ensure the maximum value in their investment in football at this level
  • Supporters: Committed to deliver the most entertaining football tournaments in everyone's expectations
  • Players: Provide visibility and promotion enough to capture attention of bigger clubs
  • Local Clubs: Improve their structures and governing capabilities for the future and growth
  • Local Leagues: Connecting, giving meaning as an additional layer to the already vibrant leagues across local FAs
  • Local FA: Work together in administering games and regulating football while educating clubs and players, in football development.

Tournaments & Events

  • Follows annual calendar, opening in March ends in December
  • Community Shield – opened by Higher League Club Champion and Swahiba Mjenzi Super League Champion
  • Champions League – attended by champions of district local leagues and gives a champion
  • Super League – from champions league winners across the zone

Dedicated Media Partner

Entire tournament receives dedicated media coverage, airtime in sports program, live broadcasting, jingles, mentions, giving full value to the sponsors

Tunasanifu na kuwasilisha mashindano ya mpira wa miguu yenye hadhi zaidi Dodoma na Kanda ya Kati. Lengo letu kuu likiwa ni mchango katika maendeleo ya soka mashinani/mitaani.

Mkakati Wetu

Mkakati wetu unazingatia dira na malengo; Kuunganisha thamani, kwa kuhakikisha kwamba ngazi ya chini inapata uangalizi na mwonekano wake unaostahiki kwa kubuni ushindani wa hali ya juu unaolingana na mashindano ya kiwango cha juu kwa faida ya wachezaji vilabu na vyama vya soka.

Wadau

  • Washirika/Wadhamini: Kufanya kazi na washirika ili kuhakikisha thamani ya juu zaidi katika uwekezaji wao katika soka katika ngazi hii ya kawaida
  • Mashabiki: Tumejitolea kutoa mashindano ya soka ya burudani zaidi kufikia matarajio ya kila mtu
  • Wachezaji: Kuwapa uwanda wa kuonekana na kuwatangaza vya kutosha hadi kuvutia vilabu vikubwa
  • Klabu za Mitaa: Kuboresha miundo na uwezo wao wa kutawala kwa siku zijazo na ukuaji
  • Ligi za Mitaa: Kuziunganisha, kuzipa maana kuwa kuweka safu ya ziada kwa ligi ambazo tayari zimechangamka kote katika FA wilaya/mkoa
  • FA za Wilaya/Mkoa: Kufanya kazi pamoja katika kusimamia michezo na kudhibiti mpira wa miguu huku kuelimisha vilabu na wachezaji na kukuza mpira wa miguu

Mashindano & Matukio

  • Inafuata kalenda ya kila mwaka, ufunguzi ukiwa Machi unaisha mnamo Desemba
  • Ngao ya Jamii – inachezwa na Bingwa wa Klabu ya Ligi ya Juu na Bingwa wa Swahiba Mjenzi Super League
  • Ligi ya Mabingwa - inayohudhuriwa na mabingwa wa ligi za mitaa za wilaya na inatoa bingwa kila wilaya
  • Super League - kutoka kwa washindi wa ligi ya mabingwa kwenye wilaya zote

Ushirika na Vyombo Vya Habari

Mashindano yote hupokea matangazo maalum ya vyombo vya habari, kupatiwa muda wa maongezi katika vipindi vya michezo, utangazaji wa moja kwa moja, jingles, kutajwa, yote katika kutoa thamani kamili kwa wadhamini.

Register for/Sponsor competition Jisajili/Dhamini kwenye mashindano